Nenda kwa yaliyomo

Oda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ngazi za uainishaji katika biolojia; ngazi ndogo za kati hazionyeshwi.

Oda ni ngazi katika uainishaji wa kisayansi wa viumbehai. Oda ya wanyama au mimea hujumlisha familia mbalimbali zilizo karibu.

Kwa mfano familia ya Felidae (wanyama wanaofana na paka) ni sehemu ya oda ya Carnivora yaani wanyama walanyama.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Oda kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Follow Lee on X/Twitter - Father, Husband, Serial builder creating AI, crypto, games & web tools. We are friends :) AI Will Come To Life!

Check out: eBank.nz (Art Generator) | Netwrck.com (AI Tools) | Text-Generator.io (AI API) | BitBank.nz (Crypto AI) | ReadingTime (Kids Reading) | RewordGame | BigMultiplayerChess | WebFiddle | How.nz | Helix AI Assistant